info@nyumbasaccos.co.tz +255 746 436 049 

SERA YA MIKOPO

Sera ya Mikopo ni utaratibu unaoandaliwa kuweka ukomo na uwiano wa kukopesha wanachama kwa kuzingatia Masharti ya chama.

Fahamu Zaidi

SERA YA MFUKO WA TAHADHARI

Sera ya Mikopo ni utaratibu unaoandaliwa kuweka ukomo na uwiano wa kukopesha wanachama Wastaafu kwa kuzingatia Masharti ya chama.

Fahamu Zaidi

SERA YA MIKOPO KWA WANACHAMA WASTAAFU

Sera ya Mikopo ni utaratibu unaoandaliwa kuweka ukomo na uwiano wa kukopesha wanachama Wastaafu kwa kuzingatia Masharti ya chama,

Fahamu Zaidi

nyumba saccos

Nyumba SACCOS ilianza tarehe 18 mwezi Juni 1969 kwa usajili namba 1904. Chama kilianza na wanachama 103 kama waanzilishi kikiwa na lengo la kuboresha mahitaji ya kiuchumi kwa wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kwa kuwawezesha kuweka na kukopa kwa riba ndogo ikilinganishwa na riba zinazotolewa na ma-benki.

DIRA

Kuwa SACCOS kiongozi inayotegemewa katika utoaji wa huduma bora za kifedha nchini.

DHAMIRA

Kuboresha hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanachama wetu kwa kutoa huduma bora na nafuu.

Fanya Maamuzi Sasa

Anza safari yako ya mafanikio na Nyumba Saccos wekeza akiba yako na kopa kwa uhuru kwa ustawi wa baadaye.

utawala

Nyumba SACCOS inajivunia uwazi, uwajibikaji, na uadilifu katika uongozi wetu, ukilenga kuwahudumia wanachama wetu kwa
ufanisi na kufikia malengo ya maendeleo endelevu.

Grace Amini

Meneja

Ruth Charles

Muhasibu

Dennis Masinda

Afisa Tehema

Winfrida Kasonso

Afisa Mikopo

Veronica Mkumba

Mhudumu wa Ofisi

HABARI Na MATANGAZO

Pata habari za hivi karibuni kuhusu huduma zetu, fursa za uwekezaji, na taarifa muhimu kwa wanachama wetu,
kuwawezesha kufanya maamuzi sahihi kwa ustawi wao wa kifedha.

ZIARA KWA CHAMA CHA WASIOONA TANZANIA (TLB) WILAYA YA TEMEKE.

14/03/2023

CHAMA cha Wasioona Tanzania (TLB) Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam kimeishukuru Nyumba SACCOS Ltd kwa kuguswa na mahitaji yao, hivyo kuwawezesha kiasi cha fedha na fimbo za kutembelea. Pongezi hizo wamezitoa leo Juni 18, 2022 wakati uongozi wa Nyumba SACCOS Ltd ulipofanya ziara…